The Agricultural Council of Tanzania (ACT) successfully convened a special general meeting held on April 17, 2025, at the Four Points Hotel in Dar es Salaam. This meeting was attended by ACT members from various agricultural sub-sectors along with key stakeholders, and it focused on electing a new Board of Directors following the expiry of the term of the existing Board, in accordance with the Council’s Constitution.
__________________________________________________________________________
Baraza la Kilimo Tanzania (ACT) lilifanikiwa kuitisha mkutano mkuu maalumu uliofanyika tarehe 17 Aprili 2025 katika Ukumbi wa Four Points Hotel, Jijini Dar es Salaam. Mkutano huu ulihudhuriwa na wanachama kutoka sekta mbalimbali za kilimo pamoja na wadau muhimu, na ulijikita katika kufanya uchaguzi wa Bodi mpya ya Wakurugenzi kufuatia kumalizika kwa muda wa Bodi iliyokuwepo kwa mujibu wa Katiba ya Baraza.